
Javier Zanetti, naodha wa inter akinyanyua kombe la mabingwa ulaya hapo jana.

Wachezaji wa inter wakiwa na bango la kocha wao,Jose Mourinho(Special one) mara baada ya kuibanjua Buyern munich 2-0 katika mchezo wa fainli ya ligi ya mabingw abarani Ulaya hapo jana.

Mshabiki wa Inter akilibusu kombe la mabingwa
No comments:
Post a Comment