Militooooooooooooooooooooooooooooooo....ni baadhi ya mashabiki wa kibongo wa Inter wakishangilia bao la pili la timu hiyo lililowekwa kimiani na Diego milito kwenye mchezo w aligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya buyern Munich uliopigwa katika dimba la santiago bernabeu mjini madrid nchini hispania.Inter iliyo chini ya Maourinho iltwaa kombe hilo kwa ushindi wa 2-0, magoli yote akifunga Milito.
Sunday, May 23, 2010
MILITOOOOOOOOOOOOOOOOO
Militooooooooooooooooooooooooooooooo....ni baadhi ya mashabiki wa kibongo wa Inter wakishangilia bao la pili la timu hiyo lililowekwa kimiani na Diego milito kwenye mchezo w aligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya buyern Munich uliopigwa katika dimba la santiago bernabeu mjini madrid nchini hispania.Inter iliyo chini ya Maourinho iltwaa kombe hilo kwa ushindi wa 2-0, magoli yote akifunga Milito.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment